Tuesday, April 23, 2013

MBUNGE ATAKA KAMPUNI ZA MAREKANI ZIFUKUZWE




Mbunge wa Kawe Halima Mdee ameitaka serikali kuangalia athari za mbegu zinazotoka nje kwani zina madhara makubwa na kampuni hizo zimepigwa marufuku kuingiza mbegu hizo katika nchi mbalimbali ikiwamo India, Argentina, Peru na Ufaransa.

Baadhi ya madhara ni pamoja na utahaira kwa watoto wanaozaliwa, utegemezi kwa kampuni hizo kwani lazima mkulima anunue mbegu kutoka kwao.