MBUNGE ATAKA KAMPUNI ZA MAREKANI ZIFUKUZWE
Mbunge wa Kawe Halima Mdee ameitaka serikali kuangalia athari za mbegu
zinazotoka nje kwani zina madhara makubwa na kampuni hizo zimepigwa marufuku
kuingiza mbegu hizo katika nchi mbalimbali ikiwamo India, Argentina, Peru na Ufaransa.
Baadhi ya madhara ni pamoja na utahaira kwa watoto wanaozaliwa, utegemezi
kwa kampuni hizo kwani lazima mkulima anunue mbegu kutoka kwao.