Tuesday, April 23, 2013

WAMEFAULU KUUNDA FIGO



Watafiti kutoka katika hospitali kuu ya Massachusetts, nchini marekani wamefaulu kuunda figo ya bandia ya panya ambayo imeweza kufanya kazi vizuri inapopandwa kwenye panya.

Wataalamu hao walifanikiwa kutengeneza figo hiyo kwe kutumia figo za binadamu na chembechembe za figo ya panya na ikafanikiwa kufanya kazi vizuri.

Hayo yameelezwa na Mtafiti wa Hospitali hiyo wakati akiongea na mtandao wa Nature Medicine, Dr. Harald C. Ott

Akaongeza kuwa uwezekano wa kutengeneza kwa wingi fogo hizo kwa matumizi ya binadamu utakuwa tayari hivi punde.