Katika kuuendeleza mpango
wake wa kutoiendeleza XP, kampuni ya Microsoft imetoa tovuti itakayokuwa
ikielekeza watu jinsi ya kuhama kutoka XP kwenda OS zingine na madhara ya
kubaki XP baada ya tarehe April 8, 2014.
Cha ajabu Microsoft inatumia tovuti hiyohiyo kuipromoti Windows 8 pia, ikiwaalika watu kununua OS hiyo mpya kwa bei ya punguzo na Office 2013 pia ina bei punguzo mpaka mwezi wa June.
Cha ajabu Microsoft inatumia tovuti hiyohiyo kuipromoti Windows 8 pia, ikiwaalika watu kununua OS hiyo mpya kwa bei ya punguzo na Office 2013 pia ina bei punguzo mpaka mwezi wa June.
Microsoft wanaeleza kuwa kutumia XP baada ya April, 2014 kutapelekea kuhatarisha usalama wa
data za mtumiaji.
